#RIPMZEEMKAPA #KleinMnibi #MKAPA
Mzee BENJAMIN WILIAM MKAPA Ameacha Alama Kubwa Na Haiwezi Kufutika Kwenye Taifa Letu,
Kupitia Uongizi Wa Rais BENJAMIN MKAPA Tanzania sasa ipo Uchumi Wa kati Ikiongozwa Na Rais Wetu Mpendwa Dr. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI,
Kama si Kupitia uongozi Wa Rais BENJAMIN WILLIAM MKAPA Jengo la Bunge Tungeliona wapi,
huu ni wimbo maalumu Kwa maombolezo katika kipindi hiki kigumu kutoka kwa mtumishi wa Mungu KLEIN MNIBI.
Naungana na Watanzania wote kutoa pole kwa Familia ndugu na jamaa, na Watanzania wote.
Artist KLEIN MNIBI
Written by KLEIN MNIBI
Produced by - Chief Elly
Studio - Jerusalem studios
#KLEINMNIBI #MKAPA #BURIANILATEBENJAMINMKAPA