@TembeaNaYesu6 years agoJPM you deserve no more critics for your hard working. Hii inapendeza sana, yaani kila anayekuja anapaswa kufanya makubwa zaidi ya yule aliyepita. Hongera sana Magufuli 3
@
@mariomsigwa94286 years agoMungu amlinde RAIS wetu kwa kazi nzuri anayowafanyia RAIA wake wa Tanzania. Mungu bariki Africa,Mungu bariki Tanzania 3
@
@siwajalidaudi62395 years agohakika Rais magufuri ni rmfano wa kuigwa ,tutakukumbuka kwa kazi zako nzuri hakika tunakuombea kwa mwenyezi Mungu akulinde na maisha marefu ,Afya njema na Kazi njema pia ,nakupenda sana Rais wangu ,by Siwajali John ,nipo city college ,Dar es salaam ,kigambom ...
@
@learnmathematics50376 years agoHongera sana Mheshimiwa Rais na Serikali kwa kazi nzuri! 1
@
@olaislukumay5716 years agoSasa Tanzania inapaaa kwa kweli more ka 2020 tutaongea hadithi mpya ,Nafurahi kuwa Mtanzania,I'm so proud. 5
@
@aleemaaleema32326 years agoOngera raisi wangu kura yangu haikupotea😘😘😘😘 30
@
@mrshila12606 years agofrom oman wallah nimefurahi sana kuona tz tunakuwa kiuchumi😗😗😗😗😗😗😗😗😗rais magufur 27
@
@hmondsimba52296 years agoHuyu ndie rais wetu hakika tunajivunia kuwa na rais muelewa na shupavu I love you rais wetu 4
@
@mohamedalaraimi68136 years agoHongera Tanzania Magufuli anafanya kazi nzuri sana 28
@
@ernestchacha19915 years agoHongera sana jpm machozi ya furaha yamenitoka nikiwa Botswana Mimi ni mtanzania hongera sana
@
@jacksonjapheth67185 years agoKazi nzuri anayohifanya rahisi wetu ee Mungu mbariki
@
@abinarisy10806 years agoHongera Mh Raisi John Magufuri kwa hatua zenye maendeleo. 5
@
@mohdyussah8256 years agoFrom UAE Kiukweli machozi ya furaha yamenitoka huku ugaibuni niliko hongera Rais John P Magufuli na hongereni watanzania wenzangu wote Nakupenda Rais wetu nakupenda nchi yangu Tanzania I'm proud to be Tanzanian ...79
@
@nigelpanashegasela57766 years agoCongratulations airtanzania from Zimbabwe 1
@
@williamsaid10806 years agoKazi nzuri pongezi kwa raia wote walipa kodi👏👏👏👏👏 17
@
@kennedylukwembe5776 years agoHongera Rais Magufuli safi sana kwa kazi nzuri 12
@
@abednego38766 years agowaleeeeer Wooooooooote wanaompinga uncle Magu..ni sawa na ma mbwa. 2
@
@azizimuhibu77716 years agoThis is Tanzania,,,,, jpm Allah akujaalie,,,sasa Tanzania naona uchumi una kuwa mkubwa,,,,naipenda tanzania yangu 2
@
@prospermakela77916 years agoJeshi la zimamoto na uokoaji hongereni Sana,mmerusha maji kwa ubora sana 6
@
@petermasawe73706 years agoIposku watakuelewa baba mwema hongera kwajuhudi 16
@
@queenmushi62296 years agoNakupenda sana Raisi Wang....mungu akupe miaka kama yote...hekima na busara mungu azid kukujalia ktk kuongoza taifa hili..
@
@charlesphiliph5285 years agoWavimbe wapasuke.Hongera baba Jesca unatisha,mambo ni mbele kwa mbele.kamilisha awamu hii kwa ndege 12.Hebu kwa aliyofanya apewe awamu nyingine 2 baada ya kumaliza hizi 2. 1
@
@elminakalunga40306 years agoGod bless Tanzania, bless our President, bless all of us! I love that 'smart animal - Giraffe' potraiting the pride of Tanzania National Parks! 3
@
@modestamakoye931911 months agoMungu akupe mwanga wa milele jpm kwa maoni yako hizi ndege ni nguvu zako hata wakufunike tunaelewa juhudi zako
@
@immamifflin43766 years agoHongera sana rais wetu Mungu akulinde...naipenda nchi naipenda Tanzania pia najivunia kuwa mtanzania
@
@lawrenceleonard13696 years agowaooooooooh Air Tz......asante sana Mh.Magufuli kwa kazi zako... kumbe nasisi wa Tz tupo vizuri hahahah big up for us
@
@happysoka20435 years agoAaaaAaaa mungu ibarki Tanzania ndoto znazd kutimia 1
@
@Ben_Mullah5 years agoKama kawaida yake kasha tufulaisha wa Tz hongera Sana kwa Mh Jpm 2
@
@nicolausngoliga31546 years agoDodoma hapa kazi Tuu, safi sana rais wetu mpendwa 2
@
@samirmana84836 years agoa president with principles congrat MR JOHn MAGuFUlI POMBE be blessed and stay safe alwayz ameen.GOOd job SIR
@
@dicksondaviddavid49095 years agoMungu ibariki Tanzania mbaliki na raisi wetu John pombe magufuri maana unayo yafanya yanatutia moyo wa Tanzania wanapenda.
@
@lubangogabriel92926 years agoNakupenda sana Raisi Wangu JOHN MAGUFULI, najivunia sana kupanda ndege ya watanzani maana na sisi imefika mahali tunaniliki chetu.
@
@masoudochu77446 years agoHongera sana Rais Magufuli mungu awe pamoja nawewe 1
@
@mjunisadock96196 years agoMh baba yetu Mzazi wetu Magufuri hongera saaanaa kwa mwendo Wa kutusogeza katika ulimwengu Wa perfect digital
@
@ayubungao40286 years agoCongratulation our Lovely President Dr. John Pombe Magufuli. I real, appreciate you. 1
@
@hajiissa92005 years agonimmefulah sana kisa ambacho nilitoka machoz bila hata kujizuia .mungu ibarik tanzania ibarik africa .nampenda sana rais wangu
@
@japhetjoseph17726 years agoUkwel tumepata raisi hata mm na kubal uyu ndie ulikuwa sahihi kwel mungu sio mwanadamu akachagua kama wanadamu nimejiuliza 2015 nan alijua magu atakuwa rais . GOD blessing Tanzania ,rais ,viongoz wote, na wananchi wote
@
@rugijofrey36856 years agoeheee kazi nzuri mnooo zikija nyingine kubwa kama hizi 3 ziwe tano tutapiga hatua ,Hongera tanzania
@
@nawihadj66746 years agoanaepinga maendereo ya mheshimiwa ninani hyoo fara manina zake anepinga onyooshe kidore juu ajfnye anajikuna maku hyoooo# magu oyeee Allah akutangurie na atutangurie sote inshaa Allah 3
@
@joisgidion9246 years agoFrom Algeria jpm yuko (gd)🛩️ I like it❤️ 1
@
@kelvinikibona7423 years agoNakupenda magu mpaka naumwaa nkumisi leo ungesema kitu Malia kwa uchungu umeicha inch iko pekeyakeee wote hawakujuwiiii ohooooooo tumbo kitu hatla
@
@juliethmeltone91436 years agoDah Mungu azidi kukusimamia kwa kila unachokifanya Rais Wetu Magufuli Mungu akubariki 5
@
@najmashabby18406 years agoYaani Machozi ya furaha yana toka Siami Uncle Magu Anatutoa ukiwa Maana tunaoishi nje ya Tanzania Huwa tuna nyanyaswa sana Na majirani zettu huwa wanatucheka eti nchi gani haina hata ndege Tukiwakatalia kusafiri na ndege zetu Hamuendi kwenu nyie. SASA WANAONA HATA AIBU SHUANI ZAO AIR TANZANIA FAHARI YA TANZANIA TWIGA HUYOOO MDOGO TUNASOGEA 😄😄😄 ...70
@
@mwaminifungo46656 years agomungu akuongezee maono rais wetu walipakodi hayo ndo matunda yako hongera sana tanzania kwa mazuri mengi miaka 3 ya uongozi wako
@
@gedionkalumbu19956 years agoMwendo wa kobe wa taratibu humfikisha, usidhani njiani apitayo haina miiba, nyoka, mijusi na mengineyo. Jitie nguvu mzee najua baada ya muda wako tutakusifia tu 29
@
@stephanominja6655 years agoEe mwenyezi mungu,, viepushe vyombo vyaetu vya usafiri na ajali,, ili tusonge mbele zaidi.. aamin!!
@
@IsaacJavan6 years agoRais Magufuli, wenye hekima tunatambua mchango wako. Mungu akubariki sana. 5
@
@wanjalajesse16946 years agoHongera Tanzania,,, bila shaka mnakiongozi wakupigiwa mfano,,, sisi kama kenya tuna hofu ila tunaomba mungu
@
@zinbormdan98136 years agoAhsante mungu na sis tuachage kwend kufany kaz nchi za wenzetu magu angalia na hili
@
@KubwaStudios6 years agoUkweli baba Magufuli nimesikia raha sana umerudisha heshima ya Tanzania yetu Mungu azidi kukuongoza na kuwafanya maadui zako watii na uongozi wako
@
@avitusmwesiga7456 years agotumefika mbali kodizetu sasa zinaonekana asante mh Magufuli 1
@
@richardbuhatwa19406 years agoAkisema kweli anatekeleza huyu ni rais wa mfano duniani 15
@
@jafarimsaghaa956 years agoKazi nzur sana, Rais wetu piga Kaz Mungu yunawe.
@
@ramadhankibwana64256 years agoMh-rais mungu akulinde wanafki washindwe na waregee uzalendo kwanza unafki tupa kule 25
@
@maicostephanomayala49666 years agoPaspo sisi watanzania kutoa kod hatuwez kupata mafanikio Lakn kwa kueshim upoaj kod wetu haya ndo matunda yetu ya kod Tuseme nn kwa mung weng kutupa rais Kama huyu Hakka miaka Ming daima na uongoz mwema aamiinaa.😍 ...8
@
@dr_toyota.33716 years agojuhud hufany kitu kiwe, bigup saana anko magù
@
@prosperphissoo82246 years agoKweli Tanzania inakuwa nchi ya uchumi wa juu Mungu ibariki Tanzania 2
@
@rahmahersi65844 years agoMbona hii ndege Inaringa jamani. Hongera sana Rais Makufuli.
@
@kisinzaemmanuel63186 years agoNchi yangu iliyobarikiwa Tanzania tutafika tu kwa uwezo wa MUNGU 7
@
@davidnjoroge84956 years agoKenya 🇰🇪 tuko na Dreamliner.Nairobi to New york city 🌃.hongera uncle magu👌👌👌 2
@
@festomatereka12116 years agoNi vigumu kutambua dhamani na mchango wa mtu akiwa hai . Kiukweli mheshimiwa magufuri anajitahidi sana kusimamia mari za watanzania na kuzitumia kwa faida kubwa ya inchi . Hongera sana raisi Magufuli keep it up .. ...
@
@peterjohn19696 years agonakupenda sana raisi wangunimeshindwa kukaakimya nakupenda kwelikwli
@
@lamecknjagwa11556 years agoNampenda raisi john pombe magufuli kuliko maelezo,kazi anazofanya zinatufaa watanzania,najisikia vibaya sana mtu akimwongea vibaya,watanzania tuache wivu mtu anapofanya viziri,mtamkumbuka atakapoondoka madarakani,hiyu ndie raisi wa watanzania mzalendo ...
@
@zumbeshauri81146 years agohalafu kweli tunakubaki kunamtu anamtukana raisi tumekaa kimya kama sikumuuwa kwa panga basi tumroge afe ili kumsaidia raisi wetu 30
@
@DIweni6 years agoNdege imeona minazi leo,fahar ya nchi yetu😁 2
@
@nemomunuo57866 years agorais wng mwenye uchungu na rasilimali za watanzania mungu akutie nguvu mheshimiwa magufuli
@
@geraldfelician19516 years agoTaratibu tutafika Raisi wangu JPM, wapinzani waweza kosa kwa unayoyafanya ila kwa mapenzi ya Mungu tutafika. 2
@
@paschalvenance18336 years agoKwa kweli Raisi tumuombee kwa kazi kubwa anayofanya, hongera sana CCM chama changu 2020 wapinzani hawana chao.
@
@latifamkulazi83785 years agoSijawah penda rais lakini kwa magufuli aongoze miakayote nimemuelewa mungu amlinde rais wetu endelee kutuongozavyema
Related videos for AIRBUS IKIWA INAWASILI ANGA LA TANZANIA KWA MARA YA KWANZA:
Magufuli anafanya kazi nzuri sana 28
Kiukweli machozi ya furaha yamenitoka huku ugaibuni niliko hongera Rais John P Magufuli na hongereni watanzania wenzangu wote
Nakupenda Rais wetu nakupenda nchi yangu Tanzania I'm proud to be Tanzanian ... 79
hapa kazi Tuu, safi sana rais wetu mpendwa 2
Lakn kwa kueshim upoaj kod wetu haya ndo matunda yetu ya kod
Tuseme nn kwa mung weng kutupa rais Kama huyu
Hakka miaka Ming daima na uongoz mwema aamiinaa.😍 ... 8
bigup saana anko magù
Inaringa jamani.
Hongera sana
Rais Makufuli.
Kiukweli mheshimiwa magufuri anajitahidi sana kusimamia mari za watanzania na kuzitumia kwa faida kubwa ya inchi .
Hongera sana raisi Magufuli keep it up .. ...