@dicksonchauganga53253 years agoLaiti km mtu anajua ck yake yakufa! Magufuli asingeteua huyu mama kuwa msaidiz wake. 11
@
@dicksonchauganga53253 years agoNa hilo barakoa lake ni wazi huyu ameshatauuza! Anatengeneza ngome yakena uupuzi wake. Sababu mtu mwenye akili zake nakujitambua kukubaliana na mwenendo wa hyu mama! Nilitarajia ataanza kwa speed yakufuatilia miradi mikubwa aliyoicha jpm, kumbe hata habar hana yeye ana kazi yakuvuruga serkali kila uchao. Naamini ck zinahesabika hata hao wanaomsaport kwa ujinga huu watamgeuka. ...Expand6
@
@hamedamahamd12223 years agoKwakweri huyu mama mie sina imani nae toka aripo apishwa sijawahi muamini. 5
@
@enockkagomba12613 years agoAfu alisha wahi kuwa mkuu wa mkoa wa kilimanjaro mbona hujasema? 2
@
@jumashedafa3 years agoHuu uongoz hamn kitu hiz ni njia za ulaj tu yan hatuwez badil viongoz kila ck abadilishwe akiw kwel ana matatiz. Cjui ila tanzania yang inaend kuzim. Sijui tutarud na roho zetu. Mungu ndiy mjuz. 1
@
@salmaomari19883 years agoTunakukumbuka sana raisi wetu lala salama sijui wapi tutafikishwa mwaka huu hata miezi sita yaani nusu mwaka hujamaliza mioyo inakosa matumaini na ulio waacha, wote wamekusaliti na walio staafu kila dk tunawaona mtandaoni. 1
@
@dorothymutegeki75433 years agoKumbe tumeletewa jambazi mkoa wa dar kikwete family. 1
@
@gasirigwaaloyce87393 years agoKana huyu mama siwafunge ndoa na kikwete mbona wote waislam. 2
@
@beaugosseadam68313 years agoHuyu alipokua mbeya, mbeya ilikua hovyo na vurugu kila siku. Hawa ni maswahiba wa mzee wa msoga. Wote havyo kiuongozi! 1
@
@africanbeauty65563 years agoMungu anapanga yote kwetu sisi wana damu. Mimi naona hata huyu paul makonda mungu amemwandaa vyakutosha sasa ni wakati wa kupokea baraka zake huyu kijana. ...Expand
@
@RashidAli-mm1uo3 years agoAsahaekufa ameshakufa aliekuwa haridhiki na maamuzi ya mungu ajiue akamfate kaburini mwenzake anaongoza malaika huko.
@
@mbangeboy12143 years agoDunia simama nishuke tutaona mengisana mwakahuu mpaka tukimaliza miaka minne bac tutakua tuko hoi. 2
@
@sememakolo93603 years agoHuyu rais anaamini balakoa kuliko mungu, halafu walio shindikana ndio anawaludisha.
Related videos for AMOS MAKALLA: RC MPYA wa DSM, ALIYETUMBULIWA na JPM, RAIS SAMIA AKAMTEUA TENA: