Duration 3:8

MANENO YA DK MWIGULU NCHEMBA MBELE YA JPM LEO

15 156 watched
0
129
Published 1 Sep 2020

Category

Show more

Comments - 49
  • @
    @kenicemkaka28244 years ago Huyu mzee nihatari akishazungumza jambo lazima liwe kashatangaza swala la umeme vijiji vyote vya tanzania tumpe kura zandiyo cyo zakuchaguliwa zandiyo maana akisema jambo lazima liwe umeme vijiji vyote vya tanzania 10
  • @
    @ramadhanathuman9404 years ago Mwigulu wewe ni snich lisu alipigwa risasi ukiwa waziri tena msingida mwenzio ukakaa kimya tu kata kona wewe 1
  • @
    @denismassawe92554 years ago Duuuh!!! Magufuli subiri kura zako tuu Mzee wetu
  • @
    @samwelsimon92784 years ago Mlikuwa mnatowa msahada au nikodi za wananchi hiyo silazima mbona amsemi mlikusanya kiasigani miaka 5 wakati kodi ziliongezeka zahidi awamu hii
  • @
    @victoreliau63744 years ago Maneno mwigulu anaongea Ila watu hawashangilii
  • @
    @goodlucksemba11454 years ago Alikuwa anatoa hizo pesa za kwake binafsi au kodi zetu sisi watanzania wote?
  • @
    @saidabdul36954 years ago milioni 50 za kila kijiji ziko wapi waongo nyinyi na huyo magufuli anaangalia tumbo lake 1
  • @
    @hktztv65194 years ago Msafara mzito wa rais Magufuli singida CCM
    👇👇👇👇
  • @
    @josephjohn21144 years ago Kama amechukua advance siuende PCCB..? Mwigulu ulikuwa waziri wa mambo ya ndani wakati lissu anashambuliwa wasiojulikana uliwashika..?Tukisema unahusika utabisha..? Watanzania wa sasa sio wajinga tena acha siasa za uongo maana unajizaraulisha tu bora uongee fact watu watakuona wa maana. ...
  • @
    @danielwanchage87344 years ago Acha kuongea kama mtu ambaye hakwenda shule...
    Ati advance wameishachukuwa!,
    Kwan Magufuli Sasa atakuwa raisi mika yote?? Acha ufala wewe!!!
    1