@zulachama10672 years agoAlhamdhililai 2022 january bado nafuraia filamu nzuri sana yakuvutia # LAWAMA.watching from mombasa kenya. WAPI LIKE ZA LAWAMA TUJUANE HAPA. 5
@
@yasmeenaal41913 years agoDada jicho lako kisha upo vizur sana , madebe sina cha kusema kalamu haiyandiki tena juu yako ,dua kwenu🤲🤲🤲🤲🙏🙏🥰🥰 3
@
@mohamedsurur27266 years ago kikosi chako kizuri sana unacho shirikiana katika movies zako na pia movie zako zina elimu sana zina elimisha jamii na zina madili mema Hongera Madebe ...26
@
@johnsonmaarifa35825 years agoMadebe ww ni fundi nakukubali sana kaka mungu akumbaliki sana uzidi kufika mbali na uzidi kuleta mambo mazuri √√√√.™ 11
@
@ashritaabdallah64745 years agoNakuangalia vyema sana madebe nipo zenji mungu akufanyie wepesi 3
@
@hoseakayubu52206 years agoMuigizaji mwenye ushawishi Tanzania kwa kizazi hiki. Mungu akuongoze ufike mbali #🇹🇿Inakuhitaji sana 13
@
@ashritaabdallah64745 years agoNa haya mazingira ya vijijini raha sana madebe hongera sana 2
@
@muddywatown5 years agonampenda sana huyo dada namacho yake anaweza sana kuigiza.! 20
@
@dannielbosco21776 years agoMadlidai super acter in tanzania you are the one only brother 20
@
@winifridashoo4105 years agoNmefurah kukuona kiroho safi and sam kip it up mmefanya aisee 1
@
@saudatatizonyota21015 years agoAsma Hilo jitho mashallah unamacho mazuri 14
@
@zamamuuhamisi66546 years agoNapenda sana kuigiza katika kikundi chako naomba nafasi kaka madebe lidai 6
@
@maryammakungu88006 years agohongera kaka umeshirikiana na wazanzibar 13
@
@kibeginiblue71883 years agoUyo mpenzi wa madebe Kama kasoma Kent sec
@
@mimahassan75356 years agoNawapenda wote mnashiriki katika move za madebe mko juu move nzuri sana 8
@
@sadickjuma15944 years agoMadebe na maisara cha ngoma ninawapenda, haswa sana mfalme wa misemo madesh Lidash 1
@
@lemameasi50256 years agokweli madebe unajitaidi movie zako zina ujumbe wa kutosho 4
@
@hassanomar73754 years agoMadebe kiboko wa misemo nakutambua sna bonngoooo
@
@christernanjala96716 years agoNapenda movie sa Madebe...keep going bro 24
@
@mohamedsurur27266 years agomadebe ushauri wangu kwako ukisikia wazazi wako wana kuambia soma elimika juwa wazazi hawana urithi wa kukupatia juwa hili elewa hili Madebe 13
@
@joshuabaya78503 years agoKeep it up movie zenu na zinamfunzo na burudan ndan kw ndan
@rajabulipongo41146 years agoHujawahi kuniangusha madebe safi sana jamani eee asiefanya kazi au kujituma asile 1
@
@marymahimbo23616 years agohongera bro mungu akupiganie katika kaz zako 4
@
@hawahhamis8324 years agoMasha Allah daa Maisara unapendeza...ama kwl black is beaut usijiharibu na mikorogo 2
@
@RamazaniMulongeca5 years ago@ hahaha, kaoga kichwani au Katupia maji😂😂😂😂 7
@
@lusatech97343 years agoFull charge eeenh bwana ww ni fundi unatugusa kwakwel mule namalizia kusema kutoka jasho ni bora zaidi kuliko kutoka out yani ni full charge 1
@
@fatumaselfu19946 years agoJaman watu wengne bhana eti mtu anathubutu kutamka kuwa ampendi madebe sas kama move ujaipenda ni kitu kidogo tu kuacha kuangalia 28
@
@mwanahalimamwachili96796 years agoShukran sana kwa picha poa yenye mafunzo. 2
@
@dulnuhu60135 years agoMadebe safi sana kaka nimeikubar sana falam hii. 1
@
@youngkillermsodoki76646 years ago*Madebe kaanza kushirikiana na kinA mwisho wa siku mtaskia kashirikianA na na wengineo*...37
@
@adventinakiyonga21945 years agoDah bro madebe siku 1 ntakutafa nakubal xana mamb ako
@
@salmarashid34924 years agoMfalme wa misemo,, lidash
@
@davidphares53165 years agoila tuache maskhara maisala mzuri jamani 10
@
@mohdmahmoud44775 years agoMadebe pongezi kubwa sana kwako ila naomba siku moja ucheze seen ya mjini nione unachezaje
@
@omarmhmammed2163 years agoFilm zetu hatuhitaji magar majuma yakifahar na mavazi ya kileo ...kwetu kijijn na vibanda vyetu hata kutembea ni kupiga kwata tu ....maisha yanasonga.....
@
@nasrakyoma69645 years agoNadepe nichukue namm napenda sana kuigiza na kipaji ninacho
@
@mwanamisaomar3466 years agoMmeirudia tena hii ..movie ..tupe mpya madebe.. 3
@
@nadinehamis25905 years agoHahahaah jmn ety cjui binadam Wa toleo langapi hahhahahhaahh asma kiboko 1
@
@juxfurniture42976 years agomwana wa lidari..Una tixha kka angu...uko juu una jua mpaka Kero.... 2
@
@mauwapuga47776 years agoLol watanzania ndo watu pekee YOU Tube wanaogombania namba mwengine utasikia wa kwanza uyu wa pili basi shida tupu 22
@
@abdulhamid13615 years agoZenji sio maeneo ya darajani mote naon wazee munatingisha 2 2
Related videos for Lawama Part 1 - Madebe Lidai & Aunt Ezekiel (Official Bongo Movie):