Kupitia exclusive interview hii msanii Mbosso ameongea mengi kuhusu ratiba za WCB kuingiliana na wasanii wengine, usiyoyajua kuhusu Diamond na Tanasha, mtoto wake wa Kenya, msaada aliyoutoa kwa shabiki yake aliyepata ajari, maaraufu kama "anaona raha' wa nchini Kenya. n.k