Duration 6:42

Baada Ya Mahusiano Kuvunjika Kuna Hatua Tano (5) Lazima Upitie

54 582 watched
0
944
Published 4 Feb 2019

Moja Wakati Mgumu Sana Ambao Watu Wengi Wanapitia Ni Baada Ya Mahusiano Yao Kuvunjika.Kuna Hatua Tano (5) Lazima Upitie Mara Baada Ya Mahusiano Yako Kuvunjika: 1.Denial (Kuto Kukubaliana Na Uhalisia) 2.Anger (Hasira) 3.Bargaining (Kutafuta Kurekebisha) 4.Depression (Uzuni & Msongo Wa Mawazo) 5. Accepatance (Kukubaliana Na Hali Iyiokea) Kitu Cha Muhimu Cha Kuzingatia Ni Kwamba Usiingie Katika Mahusiano Mapya Kabla Ya Kufika Katika Hatua Ya Mwisho Inayoitwa Acceptance. #SeeYouAtTheTop#TimizaMalengoYako#JoelNanauka

Category

Show more

Comments - 243